Kuelekea michezo ya mwisho ya ligi kuu ya vodacom hapo kesho msimamo wa ligi hiyo unasomeka kama unavyoonekana hapo chini huku timu takribani 6 zikiwa katika hati hati ya kushuka daraja.
Timu 2 ndizo zitakazoshuka daraja msimu huu zikizipisha timu nne zinazopanda ambazo hi MAJIMAJI, MWADUI FC, TOTO AFRICAN, na AFRICANS SPORTS.
0 comments:
Post a Comment