Main Menu

Sunday, June 7, 2015

WACHEZAJI WA BARCELONA KATIKA POZI MBALIMBALI BAADA YA UBINGWA

Hizi ni pozi za wachezaji mbalimbali wa Barcelona baada ya kutwaa kombe la ligi ya mabingwa Ulaya mbele ya Juventus usiku wa jana kwa ushindi wa mabao 3 kwa moja jijini Berlin Ujerumani.Messi enjoyed his Sunday morning breakfast with the famous trophy sat alongside him after the victoryMessi akigonga chai asubuhi ya leo baada ya kazi nzuri usiku wa jana
Andres Iniesta was named as man of the match in Berlin after a long season that took in 60 matches this yearIniesta alitajwa kuwa mchezaji bora wa mechi ya fainal
 Gerard Pique enjoys a celebratory cigar following his performance in the Champions League final
Gerald Pique akivuta cigar kama sehemu ya kusheherekea.Neymar and his friends pose with the trophy after leaving the Olympic Stadium in Berlin following the victoryNEYMAR na marafiki zake baada ya ubingwa pale olimpia berlin.
Dani Alves poses with his family and the trophy, and he dedicated the victory to his father (second left)Dani Alves akiwa kapozi na kombe la uefa pamoja na familia yake.
 Ivan Rakitic and his daughter smile alongside the famous big-eared trophy after his opening goal in BerlinIvan Rakitic akiwa na mwanae.Messi and his son Thiago grip the famous trophy's big 'ears' for a dressing room photo together on SaturdayMessi na mwanae Thiago.Neymar bites into his Champions League winners medal in a celebratory selfie with his sonNeymar na mwanae pia

0 comments:

Post a Comment