Main Menu

Friday, June 5, 2015

MADRID WAKUBALIANA NA PSG JUU YA VERRATI



Taarifa toka ndani ya klabu ya Real Madrid zinasema kuwa klabu ya Real Madrid imekubaliana na klabu ya PSG kumsajili kiungo Marco Verrati.
 
Tayari klabu hiyo imemtangaza Rafael Benitez kuwa kocha wa wa timu hiyo.

Wachezaji wengine wanaohusishwa kujiunga na klabu hiyo ya Real Madrid ni pamoja na Arturo Vidal na Marek Hamsik.

Wakati huohuo,klabu ya Inter Milan ipo mbioni kumsajili kiungo wa klabu ya Galatasaray ya Uturuki Felipe Melo.

Melo mwenye miaka 31 anatazamiwa kujiunga na klabu hiyo kwa kiasi cha euro milioni 5.

0 comments:

Post a Comment