Main Menu

Thursday, June 4, 2015

ICARDI AITOSA CHELSEA AONGEZA MKATABA KATIKA KLABU YAKE



Mauro Icardi has ended speculation linking him with a move away by signing a new contract at Inter MilanMshambualiaji wa klabu ya Inter Milan Mauro Icardi amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea klabu hiyo kwa  muda wa miaka minne.

Icardi mwenye umri wa miaka 22 alihusishwa na kujiunga na klabu ya Chelsea lakini amesaini mkataba wa miaka minne katika klabu ya Inter Milan.

0 comments:

Post a Comment