Main Menu

Thursday, June 4, 2015

BENTALEB AIJIA JUU TOTTENHAM



 
Kiungo wa klabu ya Tottenham Hotspur Nabil Bentaleb amesema kuwa hafurahishwi na kitendo cha klabu yake kumcheleweshea mkataba mpya.

Tayari vilabu vya PSG na Arsenal vinamtolea macho nyota huyo wa timu ya taifa ya Algeria maybe amekuwa na msimu mzuri sana akiwa na klabu ya Tottenham.

0 comments:

Post a Comment