Main Menu

Thursday, June 4, 2015

LIVERPOOL YAMNASA MILNER, KUJIUNGA MWEZI WA SABA



 
Katika taarirfa za usajili ni kuwa klabu ya Liverpool imefanikiwa kumpata kiungo wa klabu ya Manchester City James Milner kama mchezaji huru.

Klabu ya Liverpool imefanikiwa kumalizana maslahi binafsi na mchezaji huyo na atajiunga na Liverpool mara tu mkataba wake utakapomalizika na klabu ya Manchester City mnamo tarehe moja ya mwezi wa saba.




0 comments:

Post a Comment