Main Menu

Thursday, June 4, 2015

ADVOCAAT AKUBALI KUENDELEA KUIFUNDISHA SUNDERLAND



Dick Advocaat has shocked Sunderland by performing a sensational U-turn and staying at the clubKocha wa klabu ya Sunderland Dick Advocaat amekubali kuendelea kuifundisha klabu ya Sunderland kwa msimu mwingine tena.

Hapo kabla Advocaat alitangaza kuiacha klabu ya Sunderland ili kuendele na majukumu ya familia lakini ameamua kuifundisha tena  Sunderland.

Hii inaweza kuwa taarifa njema  kwa mmiliki wa Sunderland  Ellis Short pamoja na Mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo Lee Congerton kutokana na uamuzi wa Dick Advocaat kubaki kuifundisha Sunderland.

0 comments:

Post a Comment