Mrisho ngasa akiwasili visiwani zanzibar na wachezaji wenzake wa stars mapema leo
Winga mshambuliaji Mrisho Khalfan Ngassa ameondolewa
kwenye kikosi cha timu ya taifa kilichoenda Zanzibar kupambana na Uganda siku
ya jumamosi.
Shirikisho la Mpirani wa Miguu barani Afrika
(CAF) limetoa mwongozo kuwa mchezaji Mrisho Halfan Ngasa haruhusiwi kucheza
CHAN kwa sababu sio mchezaji tena wa ndani.
Mapema baada ya kumalizika kwa ligi kuu Tanzania
bara ngassa alisajiliwa na timu ya Free State ya nchini afrika kusini na hivyo
hatambuliki tena kama mchezaji wa ndani.
Awali ngassa alikua akiichezea timu ya young Africans,
Hata hivyo ngasa yupo visiwani zanzaibar.
0 comments:
Post a Comment