Main Menu

Monday, July 20, 2015

FELIPE LUIS, MOHAMED SALAH WAFUNGULIWA MLANGO CHELSEA



Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa wachezaji Felipe Luis na Mohamed Salaha wanaruhusiwa kondoka katika klabu hiyo endapo watapewa ofa nzuri toka kwa timu zinazowahitaji.

Felipe Luis amejiunga na klabu ya Chelsea kitokea klabu ya Atletico Madrid kwa kiasi cha pauni milioni 15.8 .

Felipe Luis amekosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Chelsea mbele ya beki  Cesar Azpiliqueta ambaye amekuwa akitumiwa sana na kocha Jose Mourinho kama beki wa kushoto.
 
Kwa upande wa Mohamed Salah,alikuwa kwa mkopo katika klabu ya Fiorentina lakini amekosa namba katika kikosi cha kwanza cha Chelsea.

0 comments:

Post a Comment