Main Menu

Thursday, July 2, 2015

MICHUANO YA TENNIS YA WIMBLEDON YAZIDI KUSHIKA KASI



Michuano ya Tenisi ya Wimbledon inazidi kushika kasi kule nchini England. 

Kwa upande wa wanaume Mswisi Stan Wawrinka amefanikiwa kupata ushindi wa seti 3-0 dhidi ya Estrella Burgos.

Mchezo mwingine umemshuhudia bingwa mtetezi wa Michuano hio kwa upande wa wanaume Novak Djokovic akipata ushindi wa seti 3 kwa sifuri dhidi ya Jarkko Nieminen.

Kwa matokeo hayo,Djokovic atakutana na Benard Tomic katika raundi ya 32.

0 comments:

Post a Comment