Kiungo wa klabu ya Arsenal Mathew Flamini
amekubali kujiunga na klabu ya Galatasaray ya nchini Uturuki.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 31alijiunga
na klabu ya Arsenal akitokea klabu ya AC Milan ya nchini Italia mwaka 2013 na
amekuwa na wakati mgumu wa kupata namba ya kudumu katika kikosi cha Arsenal.
Flamini ameanza katika michezo 15 tu ya Ligi
Kuu akiwa na Arsenal msimu uliopita kutokana na uwezo mzuri aliounesha kiungo
Francis Coquelin namkataba wake unaisha mwaka 2016.
Tayari klabu ya Galatasaray imemsajili
mshambuliaji Lukas Podolski kutoka Arsenal.
0 comments:
Post a Comment