Main Menu

Tuesday, March 17, 2015

LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA KESHO, YANGA KURUDI KILELENI...?



 Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea kesho (jumatano) kwa viwanja vitatu kutimua vumbi, Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Young Aricans watawakaribisha Kagera Sugar mchezo utakaoanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Jijini Tanga maafande wa Mgambo Shooting watakua wenyeji wa Simba SC katika mchezo utakaofanyika uwanja wa Mkwakwani, huku jijini Mbeya wenyeji Mbeya City watawakaribisha timu ya ya Stand United kutoka mkoani Shinyanga kwenye uwanja wa Sokoine.

Msimamo wa ligi kuu baada ya michezo ya jana unasomeka kama unavyoonekana hapo chini

0 comments:

Post a Comment