Ulikua ni mchezo wa hisani uliokua na madhumuni mawili la kwanza kumuaga Stiven Gerald na pili kuchangisha fedha kwa ajili ya kuchangia kwenye mfuko wa watu wenye ulemavu wa macho.
Hapa zilipambana timu mbili moja ikiwa chini ya kiungo mlengwa Stiven Gerald na kingine kikiwa chini ya beki wa kati Jamie Carragher.
Hapa zilipambana timu mbili moja ikiwa chini ya kiungo mlengwa Stiven Gerald na kingine kikiwa chini ya beki wa kati Jamie Carragher.

Steven Gerrard akiwapongeza wachezaji wenzake wa zamani wa liverpool strikers Fernando Torres na Luis Suarez

Suarez, Torres, Luis Garcia, Xabi Alonso, Gerrard, Dirk Kuyt, Pepe Reina na Alvaro Arbeloa wakiwa katika pozi la picha

Mario Balotelli akipiga shoot lililozaa goli kwa timu yake ya caragher

Drogba Drogba akishangilia goli la pili kwa timu ya Jamie Carragher

Gerrard akifunga goli kwa njia ya penalt


Drogba na Kevin Nolan

Harry Kewell akitoa pasi mbele ya beki wa Chelsea captain John Terry na Liverpool captain Gerrard,


Carragher akigonga na mchambuzi wa kituo cha sky sports na mchezaji wa zamani wa arsenal
Thierry Henry

Drogba akimpita mlinda mlango wa timu ya gerald na kufunga goli la pili



Bayern Munich midfielder Alonso akisalimiana na kocha wake wa zamani Brendan Rodgers


Wachezaji wa zamani wa Liverpool Luis Suarez na Fernando Torres waliporudi Anfield



Suarez, Torres, Garcia, Alonso,
Gerrard, Kuyt and Arbeloa (left to right) gather for a photo together
after the full-time whistle


Balotelli na kaseilfie fulani hivi amaizing

0 comments:
Post a Comment