Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza na kisha kupakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
Monday, June 17, 2013
MACHANGUDOA WANAOTEGA BIASHARA YAO SINZA JIJINI DAR WAKAMATWA NA MGAMBO WA JIJI
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza na kisha kupakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment