Main Menu

Monday, June 8, 2015

CAVALIARS YALIPIZA KISASI KWA GOLDEN STATE WARRIORS KATIKA FAINAL YA PILI YA NBA



A pumped-up LeBron James celebrates as the Cleveland Cavaliers tie the NBA Finals series at 1-1 with a 95-93 overtime win in Game TwoBaada ya kukubali kipigo katika fainal ya kwanza ya NBA, timu ya Cleveland Cavaliers imelipiza kisasi kwa kupata ushindi wa point  95 kwa 93 za Golden State Warriors.

Katika fainal ya kwanza golden state warriors walishinda kwa point  108 kwa 100.

Le Bron James amechangia ushindi kwa timu yake baada ya kufunga point 39, Rebounds 16, na Assist 11 tofauti na mwenzake  MVP Stephen Curry, alifunga points 19. Floyd Mayweather shakes hands with will.i.am courtside before they watch the second game of the NBA Finals seriesDressed in Money Team regalia, Mayweather was courtside to watch the Warriors and the Cavaliers lock horns on Sunday night
Katika fainal hiyo ya pili ilihudhuriwa pia na bondia tajiri Floyd Mayweather Jr pamoja na rapa Will.i.am.Curry did, however, score in the dying seconds of the fourth quarter to take the contest into overtimeJames has his eyes on the prize as he goes up against Green to shoot for Cleveland

0 comments:

Post a Comment