Main Menu

Friday, August 30, 2013

MADAM RITTA, NEY WA MITEGO NO BEEF SASA MAMBO SHWARI

Takribani yapata wikii ya tatu baada ya Msanii
Nay wa Mitego kuachia kibao chake kinachotamba kama
Salamu zao....ndani ya nyimbo hiyo ametoa
kama kufikisha ujumbe kwa watu kadhaa,
lakini kuna mstari alikuwa akimuongelea Chief
Judge wa EBBS & Benchmark Production Manager
Madam Rita Poulsen.
Kuna tetesi zilizuka kuwa Madam Rita
alikuwa yupo mbioni kumfungulia
mashitaka Nay wa Mitego,lakini nataka kukuambia
 na kukujuza kiundani kabisa kuwa
amna lolote kati ya hayo ukweli ni Nay wa
Mitego na Madam Rita wapo sawa kabisa
na upendo umeshamiri kati yao.....

Jana Kwenye Launching Party ya video
yangu iliyofanyika Serena Hotel,
Madam Rita alikuwepo na Nay pia
alikuwepo na muda ulipozidi kuyoyoma
nilipata fursa ya kuongea nao na kunipongeza
kutokana na kazi nzuri toka kwangu

na kizuri zaidi niliwakuta pamoja
wakiwa wanaongea......


Unaweza zicheki picha kadhaa za
 Nay & Madam Rita wakiwa pamoja.

Kwa furaha kabisa wakikumbatiana.....

Ishara ya Amani na Upendo kati yao....!!

0 comments:

Post a Comment