Main Menu

Friday, June 14, 2013

REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA LEO HIGHLANDS HALL, KUSINDIKIZWA NA MSANII RECHEL


Msanii wa bongo fleva rechel kutumbuiza redds miss iringa leo
Redds Miss Iringa kufanyika leo katika ukumbi wa Highlands kuanzia majira ya saa moja jioni kwa kiingilio cha shilingi 15,000.

Mtandao huu utakuletea matukio ya shindano hilo moja kwa moja kutoka ukumbini ambapo washiriki kumi watakua wanachuana kutafuta nafasi ya kushiriki miss kanda itakayofanyika badae jijini mbeya.

0 comments:

Post a Comment