Main Menu
Home
advertising
advertising
Saturday, May 30, 2015
MBEYA CITY YAANZA KUZIBA PENGO LA KASEKE NA MWALYANZI
Baada ya kuondokewa na wachezaji wake muhimu katika nafasi ya kati kati, timu ya Mbeya City imeanza kuziba nafasi hizo.
Timu hiyo hii leo imetangaza kuwasajili wachezaji wawili kutoka timu ya JKT Ruvu na Coastal Union.
Afisa habari wa mbeya city Dismas Ten amewataja wachezaji hao kuwa na Haruna Shamte wa JKT ruvu na Joseph Mahundi kutoka Coastal Union.
0 comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CALENDAR
International Calendar
ZILIZOSOMWA SANA
SAUT MABINGWA SPORTS XTRA DAY 2014 MWANZA, CHEKI HALI ILIVYOKUA
Mabigwa wa Sports Xtra Day 2014 mkoa wa Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa fainali dhidi ya NMB Mwanza, ambapo ...
TAIFA STARS KUONDOKA KESHO KWENDA AFRIKA KUSINI
Msafara wa watu 27 wa kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) kinaondoka kesho (Julai 30 mwaka huu) saa 10 jioni kwa ndege ya Air Tan...
TEAM NZIMA YA www.kiujamaazaidi.blogspot.com UNAWATAKIA EID MUBARAK
Hakika leo ni siku muhimu kwa waislam kote ulimwenguni kwa hiyo tusiitumie siku hii kufanya maovu.
WAREMBO 12 KUWANIA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI 2013 USIKU WA LEO
Kinyang’anyiro cha kumpata Miss Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kinatarajiwa kufanyika kesho katika ukumbi wa Mikutano wa Mtenda Sun...
CHEKI SIKU MANDELA ALIVYORUDISHIWA VIATU VYAKE ALIVYOVISAHAU TANZANIA NA MAMA VICKY NSILO
Rais wa kwanza Mzalendo na Mpigania Uhuru wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela ‘Madiba’ akiwa ameshikilia viatu vyake ambavyo ...
WAGOMBEA TFF KUPATA FOMU KWENYE TOVUTI
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inawaarifu wadau wote kuwa fomu za maombi ya uongozi wa TFF...
ILIKUA NI FURAHA YA AINA YAKE WALIPOKUTANISHWA WAKALI HAWA NA STIVEN GERALD
Ulikua ni mchezo wa hisani uliokua na madhumuni mawili la kwanza kumuaga Stiven Gerald na pili kuchangisha fedha kwa ajili ya kuchangia kwe...
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI LEO KWA AJILI YA MISRI
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambayo inadhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo inaingia kambini katika hoteli ya T...
MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA YABADILISHWA MUDA, SASA KUCHEZWA MSIMU WA BARIDI
Baada ya utafiti wa muda mrefu na majadiliano yaliyochukua zaidi ya mwaka mmoja shirikisho la soka ulimwenguni limefikia uamuzi wa kut...
TIMU YA TAIFA YA VIJANA U23 KUIVAA RWANDA "KIMBALI DAY"
Tanzania imepata mwaliko wa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Rwanda kati ya Juni 6, 7 mwaka huu jijini Kigali, kwenye kumbuku...
Search Box
MITANDAO WASHIRIKI
MZEE WA MATUKIO
MICHUZI
MATERUNI
WATEMBELEAJI
0 comments:
Post a Comment