Main Menu
Home
advertising
advertising
Saturday, May 30, 2015
MBEYA CITY YAANZA KUZIBA PENGO LA KASEKE NA MWALYANZI
Baada ya kuondokewa na wachezaji wake muhimu katika nafasi ya kati kati, timu ya Mbeya City imeanza kuziba nafasi hizo.
Timu hiyo hii leo imetangaza kuwasajili wachezaji wawili kutoka timu ya JKT Ruvu na Coastal Union.
Afisa habari wa mbeya city Dismas Ten amewataja wachezaji hao kuwa na Haruna Shamte wa JKT ruvu na Joseph Mahundi kutoka Coastal Union.
0 comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CALENDAR
International Calendar
ZILIZOSOMWA SANA
UEROPA NIGHT NI VITA USIKU HUU, BARCELONA VS BUYERN, MESSI NDANI
Vita kusaka tiketi ya kusafiri kwenda jijini London kwenye mchezo wa fainali wa klabu bingwa barani Ulaya inaanza usiku huu kati ya Mabin...
MUONEKANO WA MJI WA MOSHI ULIVYO KATIKA HALI YA USAFI
Boma rod Utambulisho wa mji wa Moshi Hivi ndivyo vitu vinavyouweka mji wa Moshi katika hali ya usafi muda wote, karibu kila ...
STAR WA MOVIE AFARIKI DUNIA
Paul Walker JINA LAKE NI PAUL WALKER ALIZALIWA 1973, ALIKUA STAR WA MOVIE NA MOJA YA MOVIE ALIYOIGIZA NI FAST AND FURIOUS. AMEFARIKI...
STARS YABANWA BAVU NA MALAWI KIRUMBA
Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars imelazimishwa sare ya goli moja kwa moja na timu ya taifa ya Malawi the flames katika mchezo uliofan...
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM KUFUNGUZI MICHUANO YA KAGAME JUMAMOSI
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi CCM katika uchaguzi mkuu ujao utakao fanyika oct 25 JOHN POMBE MAGUFULI anatarajiwa kuwa mgen...
WAZIRI WA UJENZI DKT, JOHN MAGUFULI AKAGUA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA JIJINI DAR
Muoenekano wa ujenzi wa mradi wa daraja la Kigamboni katika awamu ya kwanza ambalo umekamilika kwa asilimia 47, katika mradi huo ...
SAMATTA, ULIMWENGU, NGASSA WAUNGANA NA STARS YA UTURUKI
Wachezaji watatu wa kimataifa wa Tanzania wanacheza soka la kulipwa nje ya nchi, Mrisho Ngasa (Free State – Afrika Kusini) Thomas Ulimwe...
SAMATTA AVUTIWA NA MFUMO WA MAYANGA DHIDI YA BOTSWANA
HUYU NDIYE MCHUMBA WA MBWANA SAMATTA,ANAITWA SANDRA FRIEDRICH.
TFF YAWASILISHA RASMI MAOMBI KUMUONA WAZIRI
LYON KUJUA MUSTAKABALI WAKE CHAMAZI HATMA ya African Lyon kuendelea kushika mkia au la kwenye Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inajulikan...
Search Box
MITANDAO WASHIRIKI
MZEE WA MATUKIO
MICHUZI
MATERUNI
WATEMBELEAJI
0 comments:
Post a Comment