Main Menu

Thursday, September 5, 2013

SERIKALI YAZINDUA AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA 'TUKO WANGAPI?


Mganga mkuu wa Serikali Dkt Donan Mmbando akizindua awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja wa mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi Dkt Angela Ramadhan akitoa takwimu wakati wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa bendi ya Fm Academia, ambaye ni rais wa Vijana, Nyoshi El Sadat akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
MSanii wa muziki wa bongofleva H.Baba akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Waandishi wa habari wakifuatilia uzinduzi huo.


Washiriki wa uzinduzi huo awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! wakiwa katika picha ya pamoja.


0 comments:

Post a Comment