Main Menu

Wednesday, July 22, 2015

BURUNDI NA RWANDA VITANI KAGAMECUP KESHO



 
Michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea kutimua vumbi jijini Dar es salaam itaendelea kesho siku ya alhamis katika uwanja wa Taifa, ambapo Mabingwa mara tatu wa michuano hiyo timu ya APR SC watacheza dhidi ya LLB ya Burundi, mechi itakayoanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Mchezo wa kwanza utazikutanisha timu ya Heegan FC ya Somalia itakayocheza dhidi ya Al Shandy ya Sudan.

0 comments:

Post a Comment