Main Menu

Monday, May 25, 2015

YANGA YAWAONGEZEA MIKATABA WACHEZAJI WAKE MUHIMU



 
Timu ya Yanga imewaongezea mkataba wachezaji wake watatu kwa ajili ya kuendelea kuitumikia timu hiyo msimu ujao.

Wachezaji walioongezewa mkataba ni pamoja na Haruna Niyonzima na Deogratius munishi ‘DIDA’ wamepewa mikataba wa miaka 2 huku Mbuyu Twite akipewa mkataba wa mwaka mmoja.
 
Yanga inatajwa kuwaacha baadhi ya wachezaji ili kupisha maingizo mapya ikiwa ni yakimataifa na kitaifa.

0 comments:

Post a Comment