Main Menu

Monday, May 25, 2015

DEUS KASEKE ATAMBULISHWA RASMI YANGA, AKABIDHIWA JEZI NO.4



Baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya yanga hapo jana, mchezaji Deus Kaseke ametambulishwa rasmi hii leo ya klabu hiyo.

Katika utambulisho wake kaseke amekabidhiwa jezi namba 4 ambayo ndio namba aliyokua anaivaa akiwa Mbeya City.
 
Kaseke jana alisain mkataba wa miaka miwili akitarajiwa kuziba nafasi ya winga Mrisho Khalfan ngasa aliyepata timu afrika ya kusini.
 

0 comments:

Post a Comment