Main Menu

Tuesday, March 5, 2013

WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA ANGA LA MICHEZO CHA EBONY FM WAKIWA MZIGONI

 Mtangazaji mpya na mchambuzi wa michezo wa ebony fm ally kashushu akiwa kazini kuziba pengo la jembe twalib omari aanayefanya kipindi cha jambo beat hivi sasa kushoto ni mussa kawambwa.
  yusuph mkule mtangazaji wa kipindi cha anga la michezo akiwa kazini kuwajuza watanzania kinachoendelea kwny ulimwengunu.

                                 mussa kawambwa mzigoni
                                                        ally kashushu
                                   kazini raha jaman nikubofya tu lkn km unajua

0 comments:

Post a Comment