Main Menu

Thursday, December 26, 2013

MWEUSI JOH MAKINI APAGAWISHA DAR LIVE X-MASS, TATIZO BEI YA MKAA

LIKUWA si mchezo..!



Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, akiwapagawisha mashabiki wa Hip Hop waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar usiku huu wa sikukuu ya Krismasi.

Mashabiki wa Joh Makini ndani ya Dar Live wakiwa wamepagawa na burudani.

0 comments:

Post a Comment