Mchezaji mpya wa timu ya Manchester United Memphis Depay akiwa amepozi na mpenzi wake ambaye ni x girlfreind wa mwanamuziki wa pop Chriss Brown Karrueche Tran.
Depay mwenye umri wa miaka 21 raia wa Uholanzi alitupia picha hizo kwenye ukurasa wake wa instragram akiwa jiji Miami.
Hili inaweza kuwa beef kati ya mchezaji huyo anayekipiga pia na timu ya taifa ya Uholanzi na mwanamuziki huyo mwenye skendo nyingi Chrss Brown.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment