Main Menu

Friday, June 12, 2015

MAURIZIO SARRI ACHUKUA NAFASI YA BENITEZ NAPOLI



Klabu ya Napoli imempa mkataba wa miaka mitatu kocha Maurizio Sarri kuchukua nafasi ya kocha Rafael Benitez ambaye amejiunga na klabu ya Real Madrid.

Maurizio Sarri alikuwa kocha wa klabu ya Empoli kabla ya kujiunga na klabu ya Napoli.

0 comments:

Post a Comment