Main Menu

Friday, June 12, 2015

LIVERPOOL YAENDELEA KUIMARISHA KIKOSI CHAKE, YAONGEZA JEMBE LINGINE



Adam Bogdan has agreed to sign for Liverpool from Bolton Wanderers upon the expiry of his contractKlabu ya Liverpool imeendelea kujiimarisha baada ya hii leo kumsajili kipa wa klabu ya Bolton Wanderers Adam Bogdan kama mchezaji huru.

Mchezaji huyo raia wa Hungary atasaini rasmi kuichezea klabu ya Liverpool tarehe moja mwezi wa saba mwaka huu.

Ujio wa Bogdan umelenga kuleta changamoto kwa kipa wa sasa wa Liverpool Simon Mignolet baada ya klabu hiyo kumuondoa kipa wake namba mbili Brad Jones.

0 comments:

Post a Comment