
Clyne alijiunga na watakatifu hao akitokea Palace mwezi July mwaka 2012 mkataba wake unamalizika mwaka 2016.
Aidha Liverpool pia inatajwa kutaka kumsajili mshambuliaji wa Burnley Danny Ings pamoja na kiungo wa Manchester City James Milner.
Msimu uliopita Liverpool iliigeuza Southampton gulio kwa kuwasajili Adam Lallana, Dejan Lovren na Rickie Lambert wote watatu kwa paun milion 50.
0 comments:
Post a Comment