Main Menu

Saturday, May 16, 2015

LIGI YA BASKETBALL NBA NGAZI YA KANDA YAFIKA PATAMU



Cleveland Cavaliers won despite low-key performances by LeBron James (No 23) and Kyrie IrvingHatua ya mtoano ya Ligi ya kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA imeendelea alfajiri  ya leo kwa michezo miwili.

Timu ya Golden State Warriors imekata tiketi ya kucheza fainali ya kanda ya Magharibi mara baada ya kuifunga timu ya Memphis kwa pointi 108 kwa 95.
 Bulls' Pau Gasol scored all of his eight points in the first quarter after missing the previous two games
Katika mchezo huo mchezaji wa Golden State Warriors Stephen Curry alifunga pointi 32 huku Marc Gasol kwa upande wa Memphis akifunga pointi 21.

Kwa matokeo hayo, Golden State Warriors wanamsubiri mshindi kati ya Houston Rockets na LA Clipers katika fainali ya kanda ya Magharibi.
The Clippers were cruising with a 19-point lead in the third quarter and looked to secure a spot at the finals
Kwa upande wa kanda ya Mashariki timu ya Atlanta imefuzu fainali ya kanda hiyo mara baada ya kuifunga timu ya Washington Wizards alfajiri ya leo kwa pointi 94 kwa 91.

Fainali ya kanda ya mashariki itakuwa kati ya Cleveland Cavaliers na Atlanta Hawks.

0 comments:

Post a Comment