Main Menu

Wednesday, February 25, 2015

UBINAFSI WA MESSI WAMNYIMA SUAREZ HAT TRICK KATIKA MCHEZO DHIDI YA MAN CITY

Ubinafsi wa wa mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi usiku wa jana umemnyima hat trick mshambuliaji Luis Suares baada ya kung'ang'ania kupiga penalt ambayo hata hivyo alikosa.

Suarez ambaye jana aliweka kambani mabao mawili alikua na nafasi ya kuondoka na mpira wakati ilipopatikana penalt katika dakika za mwisho za mchezo huo penalt iliyopigwa na Messi.

Kitendo cha Messi kupiga penalt hiyo kimetafsiriwa kama ubinafsi ambao mara nyingi Messi amekua akihusishwa nao katika kikosi cha Barca.

Katika mchezo wa jana uliopigwa katika dimba la Etihad Barca waliibuka na ushindi wa mabao mawili kwa kwa moja mabao yaliyofungwa na Luis Suares huku bao la kufutia machozi la City likifungwa na Kun Aguero.
Luis Suarez fires Barcelona ahead from a tight angle after the ball fell to him off Manchester City captain Vincent Kompany
Luis Suarez akifunga goli la kwanza mbele ya beki wa Manchester City captain Vincent Kompany
Suarez celebrates the crucial first away goal after finishing emphatically past Joe Hart, as Kompany looks despondent on his knees
Suarez akishangilia goli lake la kwanza katika mchezo wa klabu bingwa barani ulaya hatua ya 16 katika dimba la etihad jijini manchester.
The former Liverpool striker slides in ahead of Martin Demichelis to flick Jordi Alba's cross past Hart and double Barcelona's lead
Suarez, who scored only once in six games against City as a Liverpool player, was on song on his return to England
Suarez, kwa mara nyingine akishangilia goli la pili la barcelona
Kompany, Fernando and James Milner trudge back to the half-way line after Suarez's second goal dented City's hopes of progressing
Kompany, Fernando na James Milner wakiwa na nyuso za masikitiko baada ya kipigo cha mabao mawili kwa moja.
Sergio Aguero akiifungia city bao la kufutia machozi huku akishuhudiwa na wilfred boni aliyeingia kuchukua nafasi ya from David Silva
Aguero celebrates with James Milner after scoring what could turn out to be a vital goal in the context of the tie with 20 minutes to go
Gael Clichy akioneshwa kadi nyekundu katika mchezo huo
Lionel Messi sees his stoppage-time penalty saved by Joe Hart, the only blemish on another superb display from the Argentine
penalt ya Lionel Messi ikiokolewa na kipa wa city Joe Hart.
Barcelona's star man attempted a diving header on the follow-up, but he couldn't make a good contact and the ball went wide
The Argentinian forward cannot believe it after missing his fourth penalty in seven attempts, wasting the opportunity to put the tie to bed
messi baada ya kukosa penalt na hata alipopiga kichwa kilikwenda nje.

0 comments:

Post a Comment