Floyd
Mayweather akishangilia na mataji yake baada ya kumshinda kwa pointi za
majaji zote Marcos Maidana ukumbi wa MGM Grand mjini Las Vegas.
Marekani asubuhi hii.

Floyd Mayweather akimtupia konde Marcos Maidana

Floyd Mayweather akifikisha mono kwenye kichwa cha Maidana

Floyd Mayweather akimchapa Marcos Maidana

Will Smith akifurahia pambano hilo ukumbi wa MGM Grand

Marcos Maidana alilazimika kucheza faulo kumdhibiti Mayweather 

Floyd Mayweather akienda chini baada ya kusukumwa na Marcos Maidana

Marcos Maidana akikatwa na pointi na Kenny Bayless kwa kucheza rafu





0 comments:
Post a Comment