Main Menu

Wednesday, August 27, 2014

RASMI ETO'O ATUA EVERTON NA KUWAPIGA BAO MAJIRANI ZAO LIVERPOLL

KLABU ya Everton imetangaza kumsajili mshambuliaji Mcameroon, Samuel Eto'o kwa mkataba wa miaka miwili kama mchezaji huru.
 
Mpachika mabao huyo mwenye umri wa miaka 33 alitemwa na Chelsea mwishoni mwa msimu uliopita, amemwaga wino eveton baada ya mpango wake wa kutua liverpoll kukwama.
 
kupitia mtandao wa twetter Mshambuliaji huyo wa zamani wa Barcelona ametweet; "Rasmi ni mchezaji wa Everton...!!! Acha niwe tayari kwa matarajio na changamoto mpya!!!'  

  Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto'o akisaini mkataba na Everton

0 comments:

Post a Comment