Main Menu

Wednesday, August 27, 2014

MFUMO WA 3-5-2 WAENDELEA KUITESA MANCHESTER UNITED, YACHEZEA 4-0, VAN GAAL WEKA REKODI ZAKE

KOCHA Louis van Gaal ameendelea kuwa katika wakati mgumu Manchester United, baada ya usiku wa jana kukubali kipigo cha mabao 4-0 kutoka kitimu cha Dons cha Daraja la Kwanza katika michuano ya Kombe la Ligi, maarufu Capital One.
 
Mabao yaliyomtia machungu Van Gaal  yamefungwa na Will Grigg dakika ya 25 na 63 na Benik Afobe anayecheza kwa mkopo kutoka Arsenal dakika ya 70 na 83.
 
Kikosi cha MK Dons: Martin, Baldock, McFadzean, Kay, Lewington, Alli, Potter, Carruthers/Green dk61, Reeves, Bowditch/Powell dk56 na Grigg/Afobe dk68.

Manchester United: De Gea, M.Keane, Evans, Vermijl 5, Janko/Perrara dk46, Anderson, Kagawa/Januzaj dk20, Powell/Wilson dk57, James, Hernandez na Welbeck.
Kocha Msaidizi Ryan Giggs akiwa ameshika kichwa akilia kwa uchungu mwishoni mwa mchezo huo, huku kocha Louis van Gaal akiwa haamini macho yake
Unbelievable: United players stand shocked after MK Dons scored to make it 2-0, but worse was to come for Louis van Gaal's men
Wachezaji wa United wakiwa hoi baada ya kipigo 
Behind: United fans react angrily to going one behind as League One MK Dons celebrate in front of them at stadiummk after the first goal
Wchezaji wa MK Dons wakishangilia bao lao la kwanza
Easy pickings: Grigg chests the ball home for MK Dons' second goal past De Gea after Greeves' deep cross after half-time
Grigg akimtungua kipa De Gea

0 comments:

Post a Comment