Main Menu

Thursday, August 28, 2014

HIVI NDIVYO ANGEL DI MARIA ALIVYOTAMBULISHWA MAN UNITED

Angel di Maria aliyekuwa patna wa mchezaji christian ronaldo katika klabu ya Real Madrid amekabidhiwa jezi No 7 Manchester United iliyokua ikivaliwa na ronaldo wakati akiichezea klabu hiyo.

Di Maria, ameingia mkataba wa miaka 5 na klabu hiyo ambapo atakua akilipwa paund laki mbili (200,000) kwa wiki, amepewa jezi hiyo ambayo imewahi kuvaliwa na wachezaji wenye majina makubwa man u akiwemo Ronaldo, Eric Cantona na David Beckham.

Di Maria ni mchezaji wa kimataifa wa Argentina alitambulishwa rasmi siku ya alhamisi.
Iconic number: Angel Di Maria says Cristiano Ronaldo told him to wear the No 7 shirt at Manchester United  Angel Di Maria amesema Cristiano Ronaldo alimwambia avae jezi No 7 Manchester United
All smiles: Di Maria (left) has revealed his desire to restore Manchester United to the Champions League
Dynamic duo: United boss Louis van Gaal will be hoping Di Maria (right) will flourish at the club
All smiles: Signing of Di Maria is welcome distraction after turbulent start to the season Di Maria akitembezwa katika uwanja wa old Traford na meneja wake Vaan Gaal
Team talk: United manager Van Gaal spells out his plans to new signing Di Maria

0 comments:

Post a Comment