Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest
Mangu na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia) akizungumza
na waandishi wa habari Makao Makuu
ya Jeshi la Polisi .
IGP Mangu amewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kuweza kukabiliana na uhalifu na wahalifu.
Picha na Hassani Mndeme -Jeshi la Polisi
IGP Mangu amewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kuweza kukabiliana na uhalifu na wahalifu.
Picha na Hassani Mndeme -Jeshi la Polisi
0 comments:
Post a Comment