Main Menu

Tuesday, October 29, 2013

GARETH BALE AINGIA KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA MCHEZAJI BORA WA DUNIA, RVP. OZIL, SUARES WAMO

Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya taifa Wales Gareth Bale ameungana na wachezaji wenzake wa la liga  Lionel Messi na Cristiano Ronaldo katika kinyang'anyiro cha tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia, maarufu kama Ballon d'Or.
 
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ameingia kwenye orodha ya wanasoka wanaowania ufalme wa dunia, iliyotolewa leo ambayo mshindi wake atatajwa Januari 13 mwakani mjini Zurich, Uswisi

Robin Van Persie fired Manchester United to the Premier League title last season
Record breaker: Gareth Bale made a £86m move to Real Madrid following a superb season for Tottenham

  Gareth Bale made a £86m move to Real Madrid following a superb season for Tottenham

Hit man: Luis Suarez has been sensational for Liverpool
  Luis Suarez has been sensational for Liverpool

ORODHA YA WANAPOWANIA BALLO D'OR

Gareth Bale (Real Madrid/Wales)
Philipp Lahm (Bayern Munich/Germany)
Thomas Muller (B Munich/Germany) 
Manuel Neuer (B Munich/Germany) 
Bastian Schweinsteiger (B Munich/Germany)
Mesut Ozil (Arsenal/Germany)
Robin van Persie (Man United/Netherlands)
Arjen Robben (B Munich/Netherlands) 
Edinson Cavani (PSG/Uruguay)
Luis Suarez (Liverpool/Uruguay)
Andres Iniesta (Barcelona/Spain)
Xavi (Barcelona/Spain)
Neymar (Barcelona/Brazil)
Thiago Silva (PSG/Brazil)
Radamel Falcao (Monaco/Colombia)
Andrea Pirlo (Juventus/Italy)
Franck Ribery (B Munich/France)
Cristiano Ronaldo (Real Madrid/Portugal)
Eden Hazard (Chelsea/Belgium)
Zlatan Ibrahimovic (PSG/Sweden)
Robert Lewandowski (Dortmund/Poland)
Lionel Messi (Barcelona/Argentina)
Yaya Toure (Manchester City/Ivory Coast)
Bale, alijiunga na Real Madrid akitokea Tottenham kwa dau la rekodi ya dunia, Pauni Milioni 86, Septemba baada ya kuifungoa mabao 26 Spurs msimu uliopita.
 
 
Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina, Messi amekuwa akishikilia tuzo hiyo kwa miaka minne iliyopita, na mchezaji mwenzake Bale ndani ya Madrid, Ronaldo amekuwa wa pili miaka yote hiyo.
 
 
Franck Ribery, ambaye ameshinda tuzo ya Mwanasoka bora wa Ulaya ya UEFA msimu  wa 2012-13, baada ya kuisaidia Bayern Munich kushinda mataji la Ligi ya Mabingwa, Bundesliga na Kombe la Ujerumani, ni mchezaji mwingine mwenye jina kubwa katika orodha hiyo.
 
 
Ribery anaungana na wachezaji wenzake wa Bayern, Philipp Lahm, Thomas Muller, Manuel Neuer, Arjen Robben na Bastian Schweinsteiger wakati pia nyota wa Barcelona, Xavi, Andres Iniesta na Neymar aliyesajiliwa msimu huu wamo.
 
 
Wachezaji watatu wa Paris St Germain, Zlatan Ibrahimovic, Edinson Cavani na Thiago Silva wamo pia pamoja  na nyota mwingine mwenye jina kubwa Ligue 1 ya Ufaransa, Radamel Falcao wa Monaco aliyesajiliwa kuoka Atletico Madrid msimu huu.
 
 
Pamoja na orodha hiyo ndefu, bado katika tuzo hizo wanasoka wawili wapinzani wakubwa, Ronaldo na Messi wanatarajiwa kutawala kutokana na kuonekana kwamba bado wako juuu ya wengine
Talisman: Manchester City midfielder Yaya Toure
  Manchester City midfielder Yaya Toure
Tricky: Chelsea's Eden Hazard
  Chelsea's Eden Hazard
Wizard: Mesut Ozil has continued his fine form at Arsenal following summer switch from Real Madrid
Wizard: Mesut Ozil has continued his fine form at Arsenal following summer switch from Real Madrid
Main challenger: Real Madrid's Cristiano Ronaldo
Cristiano RonaldoSimply the best: Lionel Messi has won the award for the past four years

0 comments:

Post a Comment