Main Menu

Wednesday, November 6, 2013

HIVI NDIVYO MTIKISIKO 2013 MALIZA...MALIZAAAAA ULIVYOTIKISA MJI WA MAKAMBAKO

ILIKUA FULL SHANGWE MWANZO MWISHO
 Hii ndio stage ambayo wakali wa muziki tanzania walifanya yao hapa namzungumzia MADEE, NEY WA MITEGO, YOUNG KILLER, DARASA, BABA LEVO, NEMO, WANNE STAR, LINEX, SQUUZER, MICHAEL JAKSON WA BONGO na wengine wengi
 Umati ukubwa wa wakazi wa mji wa makambako waliojitokeza kushuhudia tamasha kubwa zaidi nyanda za juu kusini linaloratibiwa na kituo cha radio ebony fm lijulikanalo kama mtikisiko.

 Mmoja wa waongozaji wa show hiyo bonny slay
 Wasanii wa nyanda za juu kusini med c na meeda walifanya vizuri pia

 Mwanamuziki wa nyimbo za asili wanne star akiwaburudisha mashabiki zake
 Mkali wa r n'b tanzania nemo akifanya yake



BAADA YA MAKAMBAKO MTIKISIKO UNAENDELEA JIJINI MBEYA TAREHE 16 MWEZI WA 11, UNAHIC WAKALI GANI WATADINDOKA? ENDELEA KUSIKILIZA EBONY FM ......Feel the differrence.

0 comments:

Post a Comment