Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP
Said Mwema, akimkabidhi zawadi yenye nembo ya Jeshi Polisi Tanzania, Naibu
Kamishina wa UNAMID Dkt. Syed Kaleem Imam, kutoka nchini Sudan, jimbo la
Darfur, alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es
salaam, akiwa katika ziara yake ya kikazi ya siku sita hapa nchini.
Picha na Demetrius Njimbwi, Jeshi la Polisi Dar es salaam.
Picha na Demetrius Njimbwi, Jeshi la Polisi Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment