Main Menu

Wednesday, June 10, 2015

ENGLAND YATOA MCHEZAJI MMOJA TU KIKOSI BORA CHA MSIMU CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE.



Andrea Pirlo sheds some tears as he applauds Juventus fans after their 3-1 defeat in Berlin 
Barcelona imeendelea kusumbua ulaya baada ya kutoa wachezaji kumi kwenye kikosi bora cha msimu cha ligi ya mabingwa ulaya.

Klabu ya Juventus ambayo ni mwana fainal wengine imetoa wachezaji watano kwenye kikosi hicho wakijumuhishwa wakongwe Gigi Buffon na Andrea Pirlo.

Ligi kuu ya England kwa ujumla wake imetoa mchezaji mmoja tu ambaye ni beki wa pembeni wa klabu ya Chelsea Branislav Ivanovic .
 Branislav Ivanovic was named in the team despite Chelsea not making it past the last 16
Katika kikosi hicho pia kimemjumhisha mshambuliaji wa Real Madrid Christian Ronaldo pamoja na kiungo toni Kroos.

Kikosi kamili cha uefa champions league hiki hapa.

0 comments:

Post a Comment