Main Menu

Monday, October 28, 2013

HWA NI BAADHI YA WASANII WATAKAOPANDA KWENYE JUKWAA LA MTIKISIKO AMANI STADIUM MAKAMBAKO TAREHE 2 NOVEMBA

 Huyu anaitwa darasa watu wengi tulimfahamu kupitia ngoma yake ya sikati tamaa na kwa sasa anatamba na ngoma yake mpya aliyomshikisha dito ijulikanayo kama weka ngoma.
 Tunamfahamu kama linex linenga member wa kigoma all star
 Madee
 Madee anatamba na pombe yangu na hivi karibuni kaachia tema mate tumchape inayofanya vizuri pia.
 Ney wa  mitego mchizi aliyepigwa marufuku na basata kuvaa mlegezo

Huyu dogo anajiita young killer kutoka mwanza naye atakuwepo paleeee amani stadium makambako

0 comments:

Post a Comment