Main Menu

Friday, July 3, 2015

HAMISI KIZA ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC



Hamis Kizza asaini mkataba wa miaka miwiliMchezaji Hamisi Kizza amejiunga rasmi na Klabu ya Simba leo kwa kusaini mkataba wa miaka miwili baada ya kufuzu vipimo vya afya leo mchana.

Hamis Kizza ni mchezaji kutoka Uganda ambaye pia anacheza timu ya Taifa ya Uganda, Uganda Cranes.

Taarifa kwa mujibu wa www.simbasports.co.tz

0 comments:

Post a Comment