Main Menu

Friday, June 12, 2015

XAVI ATAMBULISHWA RASMI AL-SADD NA KUKABIDHIWA JEZI NO 6

Kiungo wa zamani wa barcelona Xavi Hernandes amesaini kuichezea timu yake mpya ya Al sadd ya Qatar na kutambulishwa rasmi.

Xavi mwenye umri wa miaka mitano amekabidhiwa jezi ya namba anayoipenda, namba 6 aliyokua anaivaa hata alivyokua anakipiga na Barca.
Xavi was confirmed as an Al-Sadd player on Thursday after leaving treble winners Barcelona
Xavi akubaliana na Al-Sadd kuichezea timu hiyo baada ya kuisaidia timu yake ya zamani ya barcelona kushinda makombe matatu (treble)
The legendary midfielder will wear his favoured No 6 shirt as he embarks on the journey to Qatar
Mkongwe xavi amepewa jezi namba 6 aliyokua anaitumia akiwa na Barcelona
Xavi was presented to the press at the club's Jassim Bin Hamad Stadium after signing his contract
Xavi akitambulishwa na timu yake mpya katika uwanja wa timu hiyo Jassim Bin Hamad Stadium baada ya kusain mkataba.

0 comments:

Post a Comment