Timu mbalimbali zimeendelea kuboresha vikosi vyao kwa
ajili ya msimu mpya wa ligi kuu Tanzania bara na michuano ya kimataifa.
Vilabu vya mkoani Tanga ni miongoni mwa timu
zinazoboresha vikosi vyao kwa kasi, ambapo hii leo timu hizo zimegawana makocha
wa timu Kagera Sugar.
Timu ya coastal union imempa dili la mika miwili aliyekua
kocha mkuu wa timu ya kagera sugar Jackson mayanja.
Wakati mayanja akitua coastal msaidizi wake mrage kabange
muda wowote anatarajiwa kumwaga wino katika timu ya African sports.
0 comments:
Post a Comment