Main Menu

Thursday, May 21, 2015

MANCHESTER UNITED YAKUBALIANA NA NICOLAS OTAMENDI WA VALENCIA



Nicolas Otamendi of Valencia gives instructions during the La Liga match between Valencia CF and Sevilla FC at Estadi de Mestalla on January 25, 2015 in Valencia, Spain.Dirisha la usajili linategemewa kufunguliwa hivi karibuni na zipo taarifa nyingi kuhusiana na masuala ya usajili.

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Manchster United zimesema kuwa klabu hiyo imekubaliana na beki wa kati wa klabu ya Valencia na timu ya taifa ya Argentina Nicolas Otamendi.

Kwa mujibu wa jarida la Diario Ole la Argentina,Otamendi amekwishakubaliana maslahi yake binafsi na klabu ya Manchster United na kinachosubiriwa ni kwa mchezaji huyo kumaliza michuano ya Copa America ili ajiunge na mashetani hao wekundu.

0 comments:

Post a Comment