Main Menu

Thursday, May 21, 2015

JUVENTUS YATWA TAJI LA 2 ITALIA, SASA KULISUBIRI LA UEFA JUNE 6

The Serie A champions celebrate wildly after securing their first Coppa Italia title since 1995Timu ya Juventus ya nchini Italia usiku wa kuamkia leo imetwaa kombe lake la pili msimu huu baada ya kuifunga timu ya Lazio katika mchezo wa fainal ya Copa italia.

Mabao ya beki kisiki Giorgio Chiellini na Matri yalitosha kuipa ubingwa Juve kwa mabao mawili kwa moja.

Sasa Juve inasubiri fainal ya ligi ya mabingwa june 6 nchini Ujerumani kuona kama inaweza kutwaa makombe matatu kwa msimu jambo ambalo haijawahi kufanya tofauti ya wana fainal wenzano timu ya Barcelona ambao tayari wameshawahi kutwaa makombe matatu.
 
The Turin-based giants run towards their fans in celebration after the final whistle was blown at the Stadio Olimpico

0 comments:

Post a Comment