Main Menu

Monday, May 18, 2015

BARCELONA YANYAKUA TAJI LA 23 LA LIGA, MESSI AENDELEZA UBABE WAKE

The stars all turn their heads as celebrations get into full swing on the Vicente Calderon pitch after the full-time whistle Lionel Messi ameendelea kuwa mchezaji muhimu katika kikosi cha fc Barcelona baada ya jana kuifungia timu hiyo bao la ubingwa katika dakika ya 65 Barcelona ikipata ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Atletico Madrid Uwanja wa Vicente Calderon mchezo wa La Liga.
 
ushindi huo  dhidi ya timu ya Atletico ya Diego Simeone, umeiwezesha Barca kujihakikishia taji la ubingwa wa La Liga, ambalo linakuwa taji la 23 katika historia yao.
Atletico Madrid's defenders could only stand and watch as Lionel Messi's genius won Barcelona the La Liga title on Sunday Luis Enrique's Barcelona celebrated sealing the La Liga title with victory away at Atletico Madrid on Sunday evening 
Lakini pia ni kama kulipiza kisasi kwa Simeone ambaye msimu uliopita alitangazia ubingwa wa La liga katika dimba la Nou Camp baada ya sare ya goli moja kwa moja, sasa jana barca katangazia ubingwa nyumbani kwa atletico pale Vicente Calderon.

0 comments:

Post a Comment