
ushindi huo dhidi ya timu ya Atletico ya Diego Simeone, umeiwezesha Barca kujihakikishia
taji la ubingwa wa La Liga, ambalo linakuwa taji la 23 katika historia
yao.


Lakini pia ni kama kulipiza kisasi kwa Simeone ambaye msimu uliopita alitangazia ubingwa wa La liga katika dimba la Nou Camp baada ya sare ya goli moja kwa moja, sasa jana barca katangazia ubingwa nyumbani kwa atletico pale Vicente Calderon.
0 comments:
Post a Comment