Main Menu

Sunday, May 31, 2015

ARSENAL YATWAA TAJI LA 12 LA FA, SASA YAIZIDI MAN U.

The Arsenal players celebrate with bottles of champagne after winning the 12th FA Cup of the club's history Klabu ya Arsenal jana ilifanikiwa kutetea Kombe la FA baada ya kuichapa mabao 4-0 Aston Villa katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Wembley, London. 
 
Mshambuliaji Theo Walcott aliifungia bao la kwanza Arsenal kunako dakika ya 40 na Alexis Sanchez akafunga la pili dakika ya 50.
 
Beki Mjerumani, Per Mertesacker naye akaifungia bao la tatu timu yake dakika ya 61, kabla ya Olivier Giroud aliyetokea benchi kufunga la nne dakika ya 90. 

Kwa ushindi huo arsenal wamefikisha kombe la 12 la FA na kuizidi Manchester united ambayo imelichukua mara 11.

Huku Wenger akiweka rekodi ya kulichukua taji hilo mara sita ikiwa ni pamoja na Wenger kafanikiwa kulitetea taji hilo.
The Gunners striker jumps for joy in front of the disappointed Villa fans as Arsenal inch closer to another FA Cup final victory One Arsenal fan shows off an FA Cup trophy painted on his chest as the Gunners faithful celebrate a brilliant day at WembleyBelgian striker Benteke applauds the Villa faithful as their disappointing day comes to an end at Wembley

0 comments:

Post a Comment