Main Menu

Tuesday, April 14, 2015

AZAM FC KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA KESHO...?



Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea kesho jumatano katika viwanja viwili nchini, jijini Tanga wenyeji Maafande wa Mgambo Shooting watawakaribisha timu ya Azam FC kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

Mjini Morogoro wakata miwa wa Mtibwa Sugar watakua wenyeji wa maafande wa jeshi la Magereza nchini timu ya Tanzania Prisons kutoka Mbeya, mchezo utakaopigwa katika dimba la Manungu Turiani.

Msimamo wa ligi ya vodacom unasomeka hivi ........

0 comments:

Post a Comment