Kitambi baada ya kutimuliwa Ndanda Fc alikuangukia kwenye uchambuzi wa soka, ambapo awali alianza na kituo cha Clouds fm na Tv kabla ya kuhamia Azam Tv ambao kimsingi ipo ya mwamvuli mmoja na timu ya Azam.
Kitambi analamba deal hiyo baada ta azam kumtimua aliyekua kocha wake mkuu Joseph Omog na msaidizi wake Ibrahim Shikanda kutokana na timu hiyo kutolewa katika michuano ya klabu bingwa Afrika na timu ya El Merrekh ya Sudan na timu kubaki chini ya kocha raia wa Uganda George Best Nsimbe.
Taarifa ya kitambi kuwa kocha msaidizi wa Azam fc imetolewa kupitia page ya facebook ya timu hiyo.
0 comments:
Post a Comment