Main Menu

Thursday, February 26, 2015

TORRES NA TIMU YAKE WACHEZEA KICHAPO UJERUMANI

Fernando Torres alianza maisha ya uefa na klabu yake ya Atletico Madrid kwa machungu baada ya kukubali kipigo cha bao moja kwa bila ugenini.

Katika mchezo huo Bayer Leverkusen ya Ujerumani ilipata ushindi wa bao moja kwa sifuri ,  Goli hilo pekee la Bayer 04 lilitiwa kimiani na Hakan Calhanoglu.

Hata hivyo Torees alifunga bao dakika ya 74 ambalo halikua halali
Fernando Torres - who came on as a 64th minute substitute - (left) battles for the ball on Wednesday night
Fernando Torres akigombania mpira baada ya kuingia katika dakika ya 64 .
Torres (right) and his Atletico team-mates are incensed after his 75th minute headed goal was disallowed
Torres akilalamika kwa mwamuzi baada ya goli lake kukataliwa kunako dakika ya 75 .
The Spanish striker continues his protests as he asks the official behind the line why his goal was ruled out

0 comments:

Post a Comment